Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yeremia 14:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Wakubwa wake wanawatuma watumishi wao maji; watumishi wanakwenda kwenye visima, lakini hawapati maji; wanarudi na vyombo vitupu. Kwa ajili ya haya na mahangaiko wanaangalia chini.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yeremia 14:3
23 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini Daudi aliendelea, akapanda kwenye mulima wa Mizeituni akilia, bila viatu na kichwa chake kimefunikwa. Hata watu wote waliokuwa pamoja naye walifunika vichwa vyao, wakapanda mulima wakilia.


Kwa hiyo, siku hiyo, watu waliingia katika muji kimyakimya kama watu wanaorudi katika muji wakipata haya kwa kukimbia vita.


Lakini, nyuma ya siku chache kijito kikakauka kwa sababu hakukunyesha mvua katika inchi.


Musimusikilize Hezekia, maana mufalme wa Asuria anasema: ‘Mukuwe na amani nami na kujitoa kwangu. Kisha kila mumoja wenu ataweza kula matunda ya mizabibu yake mwenyewe na matunda ya tini yake mwenyewe na kunywa maji ya kisima chake mwenyewe,


Kisha Mordekayi akarudi kwenye mulango wa nyumba ya kifalme. Lakini Hamani akakimbilia kwake, akijaa huzuni naye akifunika kichwa chake kwa ajili ya haya.


Wanachukizwa kwa kutumainia bure, wanafika kwenye vijito hivyo na kuuzika.


Waadui zangu wazungukwe na mazarau; wajifunike haya yao kama vile nguo.


Upendezwe, ee Yawe, kuniokoa; ee Yawe, ukuje haraka kunisaidia.


Walimaji wanahuzunika kwa kuona jinsi udongo unavyokauka kwa ajili ya ukosefu wa mvua.


Kwa nini mateso yangu hayaishi? Mbona kidonda changu hakiponi nacho hakitaki kutunzwa? Kama vile kijito chenye kukaukakauka, kisivyoweza kutumainiwa, ndivyo wewe umekuwa kwangu!


Watu wangu wametenda maovu mawili; wameniacha mimi ninayekuwa chemichemi ya maji ya uzima, wakajichimbia visima vyao wenyewe, visima vyenye nyufa, visivyoweza kuchunga maji.


Na huko vilevile utatoka na haya, mikono ikiwa juu ya kichwa. Mimi Yawe nimewakataa wale uliowategemea, wala hautafanikiwa kwa musaada wao.


Lakini wewe Yawe uko pamoja nami. Kwangu wewe ni kama shujaa wa kutisha. Kwa hiyo watesaji wangu watajikwaa, nao hawataweza kunishinda. Watafezeheka kabisa, kwa sababu hawatashinda. Haya yao itadumu hata milele, nayo haitasahauliwa.


Ndiyo maana manyunyu yamezuizwa kuanguka, wala mvua za mwisho hazijanyesha. Hata hivyo unakausha macho kama kahaba, wala hauna haya hata kidogo.


Midomo ya watoto wachanga imekauka kwa kiu, watoto wanaomba chakula, lakini hakuna anayewapa.


Basi, muwaite wakaka zenu, “Watu wangu”, na wadada zenu, “Waliohurumiwa”.


Hata nyama wa pori wanakulilia wewe, maana, vijito vya maji vimekauka, moto umemaliza malisho katika mbuga.


Tena niliwanyima mvua miezi mitatu tu mbele ya mavuno. Nilinyeshea mvua muji mumoja, na muji mwingine nikaunyima. Shamba moja lilipata mvua, na lingine halikupata, likakauka.


Watu wa miji miwili au mitatu wakakimbilia katika muji mwingine, wapate maji, lakini hayakuwatoshelea. Hata hivyo hamukunirudilia. –Ni ujumbe wa Yawe.–


Ikiwa kuna taifa lolote katika dunia ambalo halitakwenda Yerusalema kumwabudu Yawe wa majeshi anayekuwa mufalme, basi, mvua haitanyesha katika inchi yao.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ