Basi, nikaenda kwenye muto Furati, nikachimbua na kuuondoa ule mukaba pahali nilipokuwa nimeuficha. Nilipouondoa, niliona kwamba ulikuwa umeharibika kabisa; nao ulikuwa haufai tena.
Kisha nikaona kwamba katika lile anga juu ya vichwa vya makerubi kulikuwa kitu kinachofanana na jiwe la rangi ya samawi, umbo lake kama kiti cha kifalme.