Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yeremia 13:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Basi, nikaenda kwenye muto Furati, nikachimbua na kuuondoa ule mukaba pahali nilipokuwa nimeuficha. Nilipouondoa, niliona kwamba ulikuwa umeharibika kabisa; nao ulikuwa haufai tena.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yeremia 13:7
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hakuna hata mumoja anayekuja kukuomba; hakuna anayejishugulisha kukutafuta. Wewe unauficha uso wako mbali nasi, umetuacha tufungwe na maovu yetu.


Watu hawa waovu wanakataa kusikia maneno yangu. Wanaendelea na kufuata mawazo yao wenyewe. Wanaifuata miungu mingine, wanaitumikia na kuiabudu. Hao watakuwa kama mukaba huu ambao haufai kitu.


Kulipokwisha kupita siku nyingi, Yawe akaniambia: Kwenda kwenye muto Furati, utwae ule mukaba niliokuamuru kuuficha huko.


Wote wamepotea, wote kwa jumla wamepotoka. Hakuna mwenye kufanya mema, hata mumoja.


Zamani yeye hakukufalia kitu, lakini sasa atakufalia wewe na mimi vilevile.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ