Yeremia 13:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20027 Basi, nikaenda kwenye muto Furati, nikachimbua na kuuondoa ule mukaba pahali nilipokuwa nimeuficha. Nilipouondoa, niliona kwamba ulikuwa umeharibika kabisa; nao ulikuwa haufai tena. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |