4 Twaa ule mukaba ulioununua na ambao unaouvaa katika kiuno, uende kwenye muto Furati na kuuficha katika pango chini ya jiwe.
kandokando ya mito ya Babeli tuliikaa tukilia, tulipokumbuka Sayuni.
Kisha, neno la Yawe lilinifikia kwa mara ya pili kusema hivi:
Enyi watu wa Sayuni, mulie na kugaagaa kama mwanamuke anayezaa! Maana sasa mutaondoka katika muji huu muende kukaa katika mbuga, mutakwenda mpaka Babeli. Lakini kule, mutaokolewa. Kule Yawe atawakomboa toka katika makucha ya waadui zenu.
Yoane alikuwa akivaa nguo iliyotengenezwa na manyoya ya ngamia na mukaba wa ngozi katika kiuno. Naye alikuwa akikula nzige na asali ya pori.