3 Kisha, neno la Yawe lilinifikia kwa mara ya pili kusema hivi:
Basi, nikaenda, nikanunua mukaba kama vile Yawe alivyoniagiza, nami nikauvaa katika kiuno.
Twaa ule mukaba ulioununua na ambao unaouvaa katika kiuno, uende kwenye muto Furati na kuuficha katika pango chini ya jiwe.
Neno la Yawe lilinifikia kusema hivi:
Kwanza nikakunywesha wakaaji wa Yerusalema na miji mingine ya Yuda, wafalme wake na wakubwa wa serikali yake kusudi ikuwe jangwa, ukiwa, kitu cha kuzomewa na cha kulaaniwa, kama inavyokuwa mpaka leo. Halafu nikakunywesha: