Yeremia 11:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20024 Hili ni agano nililowaagiza babu zenu kutii nilipowaondoa katika inchi ya Misri, kutoka katika shimo la moto. Niliwaambia wanitii na kufanya yote niliyowaamuru, na kwamba wakifanya hivyo, watakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |