Yeremia 10:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20029 Sanamu hizo zinapambwa kwa feza kutoka Tarsisi, na zahabu kutoka Ofiri; zilitengenezwa na wafundi na wafua zahabu. Zimevalishwa nguo nzuri za rangi ya samawi na nyekundu-nyeusi, zilizofumwa na wafundi wa kufuma. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |