Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yeremia 1:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Lakini Yawe akaniambia: Usiseme kwamba ungali kijana. Utakwenda kwa watu ninaokutuma kwao, na maneno yote nitakayokuamuru, utayasema.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yeremia 1:7
20 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini Mikaya akamujibu: “Kama vile Yawe anavyoishi, mimi nitasema tu yale Yawe atakayoniambia.”


Ee Yawe, Mungu wangu, umeniweka mimi mutumishi wako kuwa mufalme pahali pa baba yangu Daudi, ijapokuwa ningali mutoto mudogo na sijui namna ya kutimiza kazi hii.


Lakini Mikaya akamujibu: “Kama vile Yawe anavyoishi, kile Mungu wangu atakachoniambia, ndicho nitakachosema.”


alimwambia: “Mimi ni Yawe. Umwambie mufalme wa Misri maneno yote ninayokuambia.”


Yawe anasema hivi: Simama katika kiwanja cha nyumba ya Yawe, uwatangazie watu wa miji yote ya Yuda wanaofika kuabudu katika nyumba ya Mungu, mambo yote niliyokuamuru kuwaambia, bila kuacha hata neno moja.


Yeremia alipomaliza kuwaambia watu wote maneno yote ambayo Yawe, Mungu wao, alimwamuru awatangazie,


Sasa wewe Yeremia utawaambia maneno haya yote, lakini wao hawatakusikiliza. Utawaita, lakini hawatakuitikia.


Wewe utawaambia maneno yangu, wakisikia au wakikataa kusikia, maana hao ni watu waasi.


Lakini wakati nitakaposema nawe nitakifungua kinywa chako, nawe utawaambia kwamba: “Yawe anasema hivi”. Atakayesikia, asikie; atakayekataa kusikia, akatae; maana hao ni watu waasi.


Yawe alinitosha katika kazi yangu hiyo ya uchungaji, akaniamuru nikuje kuwaambia watu wake wa Israeli unabii.


Simama, uende Ninawe, ule muji mukubwa, uwatangazie watu ujumbe ninaokupa.


Basi, Mungu akamufikia Balamu usiku ule, akamwambia: Kama watu hawa wamekuja kukuita, kwenda pamoja nao, lakini fanya tu kile nitakachokuambia.


Balamu akamujibu Balaki: Sasa nimekuja! Lakini, nina mamlaka ya kusema neno lolote? Jambo Mungu atakaloniambia ndilo ninalopaswa kusema.


Muwafundishe kutii maneno yote niliyowaagiza. Na mujue kwamba mimi ni pamoja nanyi siku zote hata mwisho wa dunia.”


Ni vile kwa sababu niliwatangazia mupango wote wa Mungu pasipo kuwaficha kitu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ