Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yeremia 1:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Yawe akaniambia: Umeona vizuri, kwa maana nitakuwa na uangalivu kusudi maneno yangu yapate kutimia.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yeremia 1:12
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

ni vilevile na neno langu mimi: halitanirudilia bila mafanikio, lakini litatimiza mapenzi yangu, litafikia shabaha nililoliwekea.


Neno la Yawe lilinifikia mara ya pili kusema hivi: Unaona nini? Nami nikasema: Ninaona chungu kinachotokota, nacho kinainamia upande wangu tokea kaskazini.


Basi, Yawe akaniuliza: Yeremia! Unaona nini? Mimi nikamujibu: Ninaona tini. Zile nzuri ni nzuri sana, na zile mbaya ni mbaya sana hata hazifai kukuliwa.


Na kadiri nilivyokuwa mwangalifu kuwaongoa, kuwabomoa, kuwaangusha, kuwaharibu na kuwatesa, ndivyo nitakavyokuwa mwangalifu kwa kuwapanda na kuwajenga. –Ni ujumbe wa Yawe.


Mimi Yawe mwenyewe nitatangaza yatakayotukia. Nayo yatatukia bila kukawia. Wakati ninyi mungali munaishi, enyi watu waasi, neno nitakalosema nitalitimiza. –Ni ujumbe wa Bwana wetu Yawe.


Kwa hiyo uwaambie kwamba: Bwana wetu Yawe anasema hivi: Maneno yangu yote yatatimia sasa hivi. –Ni ujumbe wa Bwana wetu Yawe.


Naye Yawe akaniuliza: Amosi, unaona nini? Nami nikamujibu: Ninaona kikapu cha matunda yenye kuivya. Kisha Yawe akaniambia: Mwisho umewafikia watu wangu wa Israeli. Sitavumilia tena maovu yao.


Basi Yesu akamwambia: “Umejibu vizuri. Fanya sawa vile unavyosema, nawe utaishi milele.”


Walimu wamoja wa Sheria wakasema: “Mwalimu, umejibu vizuri!”


Ni kazi yangu kulipiza kisasi, mimi nitalipiza, wakati miguu yao itakapoteleza; maana siku yao ya hasara imefika mwisho wao uko karibu sana.


“Bwana akasikia hayo maneno yenu, akaniambia: ‘Nimesikia maneno watu hawa waliyokuambia. Yote waliyosema ni sawa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ