Yakobo 4:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20022 Munatamani kupata kitu fulani, lakini hamukipati. Munaua na kusikia wivu, lakini hamuwezi kupata kitu. Na kwa hiyo, munagombana na kuwa na ugomvi. Hamupati kitu munachotaka kwa sababu hamukiombi kwa Mungu. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |