Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yakobo 4:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 Munisikilize sasa, ninyi munaosema: “Leo au kesho tutakwenda katika muji fulani, tutakaa kule kwa muda wa mwaka muzima, tutafanya biashara na kupata faida.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yakobo 4:13
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, tushuke chini na kuvuruga luga yao kusudi wasielewane wao kwa wao.”


Usijisifie kwa ajili ya kesho. Haujui siku ya leo itakuletea nini.


Basi, nikawaza: “Ngoja nijitumbukize katika raha, nijifurahishe.” Lakini, niligundua kwamba hiyo nayo ni bure.


Kila mutu atapatwa na mambo yaleyale: mutu wa kawaida na kuhani; mutumwa na bwana wake; mujakazi na bibi wake; mwenye kununua na mwenye kuuzisha; mukopeshaji na mukopaji; mwenye kudai na mwenye kudaiwa.


Na sasa nitawaambia jinsi nitakavyolifanya hilo shamba langu. Nitaubomoa upango wake, nalo litaharibiwa. Nitaubomoa ukuta wake, nalo litakanyagwakanyagwa.


Wakati umetimia, ile siku imekaribia. Mununuzi asifurahi wala muchuuzi asiomboleze; kwa sababu kasirani yangu itawaangukia watu wote.


Wale wanaolia wakuwe kama vile wasiolia. Wale wanaofurahi wakuwe kama vile wasiofurahi. Wale wanaonunua vitu wakuwe kama vile hawana kitu.


Basi, munisikilize sasa ninyi watajiri! Mulie na kuomboleza kwa sababu ya taabu itakayowapata.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ