Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yakobo 4:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Mujinyenyekeze mbele ya Bwana, naye atawainua.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yakobo 4:10
19 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

kama watu wangu hao wakijinyenyekeza, wakiomba, wakinitafuta na kuacha njia zao mbaya, basi, mimi nitawasikiliza kutokea juu mbinguni, nitawasamehe zambi yao na kustawisha inchi yao.


Maana, Mungu anawashusha wenye majivuno, lakini anawaokoa wanyenyekevu.


Anainua juu wanaokuwa zaifu; wenye kuomboleza anawapa usalama.


Anamwinua muzaifu toka katika mavumbi, anamunyanyua mukosefu toka yalala,


Yawe anawashikilia wanyenyekevu, lakini anawaangusha waovu katika mavumbi.


Nami nitawaangalia kwa majivuno waadui zangu wanaonizunguka. Nitamutolea Yawe sadaka kwa shangwe, ndani ya hekalu lake, nitaimba na kumushangilia.


Ee Mungu, uwaokoe watu wako; uwabariki watu hao wanaokuwa mali yako. Ukuwe muchungaji wao na kuwalinda milele.


Mashairi yanayoelekea muzinduo wa hekalu. Zaburi ya Daudi.


Basi, Musa na Haruni wakamwendea mufalme wa Misri na kumwambia: “Yawe, Mungu wa Waebrania, anasema hivi: ‘Mpaka wakati gani utakataa kujinyenyekeza mbele yangu? Uwaache watu wangu waondoke kusudi wanitumikie.


Kiburi cha mutu kinamuzaraulisha mwenyewe, lakini munyenyekevu wa roho atapata heshima.


Mufalme wa Babeli anasimama kwa mwanzo wa hizo njia mbili, kwenye masanganjia, apate kuaguza. Anatikisa mishale, anauliza shauri la sanamu ya miungu yake na kuchunguza maini ya nyama.


Na yeyote anayejiinua, atashushwa, lakini anayejishusha, atainuliwa.


Amewashusha wafalme wenye uwezo, lakini amewainua wanyenyekevu.


Kwa maana kila mutu anayejiinua atashushwa, lakini anayejishusha atainuliwa.”


Yesu akaongeza kusema: “Ninawaambia kwamba mutu huyu alirudia kwake akiwa amehesabiwa kuwa na haki mbele ya Mungu, lakini si yule Mufarisayo. Kwa maana kila mutu anayejiinua atashushwa, lakini anayejishusha atainuliwa.”


Basi mujinyenyekeze mbele ya Mungu mwenye uwezo, kusudi awainue kwa wakati unaofaa.


Yawe anawafanya wamoja wakuwe wamasikini, na wengine wakuwe watajiri. Anawashusha wamoja, na kuwainua wengine.


Anayalinda maisha ya waaminifu wake, lakini anaangamiza maisha ya waovu katika giza. Maana, mwanadamu hapati ushindi kwa nguvu zake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ