Yakobo 1:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 kwa sababu ni mutu wa nia mbili, na mwenye kugeukageuka katika mwenendo wake. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Ni vile ndivyo alivyoandika katika barua zote alimosema ndani yao juu ya mambo yale. Lakini ndani ya barua zile kunakuwa mambo mengine magumu kuyasikia. Na watu wajinga na wasiokamilika wanageuzageuza maana yake sawa vile wanavyogeuza sehemu zingine za Maandiko Matakatifu. Kwa njia ile wanajiangamiza wenyewe.