Yakobo 1:25 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200225 Lakini mutu anayechunguza sheria kamilifu inayoweka watu huru na kuendelea kushikamana nayo, na si kuisikia tu na kisha kuisahau, lakini anaitimiza kabisa, mutu huyu atabarikiwa na Mungu katika shuguli zake. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |