20 Kwa maana mutu mwenye kasirani hawezi kutimiza mambo ya haki mbele ya Mungu.
Lakini mimi ninawaambia: mutu yeyote anayemukasirikia ndugu yake anapaswa kuhukumiwa. Naye anayemwambia ndugu yake: ‘Hauna akili wewe!’ anapaswa kupelekwa kwenye tribinali kubwa. Naye anayemwambia: ‘Uko mwenda-wazimu!’ anastahili kutupwa katika jehenamu.
Kama mukikasirika, musianguke katika zambi, kasirani yenu isidumu muchana kutwa,