Yakobo 1:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
13 Wakati mutu anapojaribiwa, asiseme hivi: “Ninajaribiwa na Mungu!” Kwa maana Mungu hawezi kujaribiwa na ubaya, wala yeye mwenyewe hawezi kumujaribu mutu.
Ee Yawe, mbona unatukosesha njia zako? Mbona unaifanya mioyo yetu kuwa migumu hata tusikuogope? Urudie, ee Mungu, kwa ajili ya watumishi wako, makabila ambayo yalikuwa mali yako siku zote.
Heri mutu yule anayevumilia wakati anapojaribiwa, kwa maana akiisha kushinda majaribu, atapokea ile taji ya uzima ambayo Mungu aliahidia wale wanaomupenda.