Waroma 7:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20023 Basi kama akiolewa na mutu mwingine wakati mume wake angali muzima, atahesabiwa kuwa muzinzi. Lakini kama mume wake akikufa, yeye anakuwa huru toka Sheria ile iliyomufunga na hata akiolewa na mutu mwingine hatahesabiwa kuwa muzinzi. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |