Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Waroma 7:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Basi Sheria yenyewe ni takatifu na amri ni takatifu, ya haki na nzuri.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Waroma 7:12
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kule kwa mulima Sinai ulishuka toka mbinguni na kuzungumuza nao. Ukawapa maagizo safi, sheria za kweli, masharti mazuri na amri.


Kweli, ninapenda amri zako, kuliko hata zahabu safi kabisa.


Ee Yawe, wewe ni wa haki; na hukumu zako ni za usawa.


Ahadi yako ni hakika kabisa, nami mutumishi wako ninaipenda.


Nitaimba juu ya neno lako, maana amri zako zote ni za haki.


Unitimizie mimi mutumishi wako ahadi yako; ahadi unayowapa wale wanaokuheshimu.


Amri zako zote ni za kuaminiwa; watu wananitesa bila haki; unisaidie!


Musifuate mwenendo wa siku hizi, lakini muache Mungu awabadilishe kwa kugeuza upya nia zenu, hata mukuwe na mawazo mapya. Kwa hiyo mutaweza kutambua mapenzi ya Mungu. Mutajua mambo gani yanayokuwa mema, yanayomupendeza Mungu na yanayokuwa makamilifu.


Basi ni kusema kwa sababu ya imani ile tunaitupilia Sheria? Hapana hata kidogo! Lakini tunasimamisha Sheria.


Tunajua kwamba Sheria inaelekea maisha ya kiroho, lakini mimi ni mutu wa kimwili, kwa maana nimeuzishwa kama vile mutumwa wa zambi.


Ikiwa kile ninachofanya ndicho nisichotaka, maana yake ninakubali ya kuwa Sheria ni nzuri.


“Sasa, enyi Waisraeli, Yawe, Mungu wenu, anataka nini kwenu? Yawe, Mungu wenu, anataka mumwogope, mufuate njia zake zote, mumupende, mumutumikie Yawe, Mungu wenu, kwa moyo wote na kwa roho yenu yote,


Wala hakuna taifa lingine lolote hata likuwe kubwa namna gani, lenye masharti na maagizo ya haki, kama hayo ambayo nimewafundisha siku hii ya leo.


Tunajua kwamba Sheria ni nzuri, kama ikitumiwa kwa njia ya haki.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ