Waroma 4:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20029 Uheri huu si kwa watu wanaotahiriwa tu, lakini ni kwa watu wasiotahiriwa vilevile. Kwa maana tumekwisha kusema kwamba Abrahamu alihesabiwa kuwa mwenye haki kwa njia ya imani yake. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |