7 “Heri wale waliosamehewa makosa yao, nazo zambi zao zimefutwa.
Ee Yawe, umependelea inchi yako; umerudishia wazao wa Yakobo hali nzuri.
Na kule wakamuletea mutu mwenye ugonjwa wa kupooza, akilala juu ya kipoyi. Yesu alipoona namna watu wale walivyomwaminia, akamwambia yule mwenye kupooza: “Mutoto wangu, ujipe moyo! Zambi zako zimesamehewa!”
Na ni vile Daudi anavyosema juu ya uheri wa mutu ambaye Mungu anayehesabia haki pasipo kuangalia matendo yake.