4 Mutu anayefanya kazi, mushahara wake hauhesabiwi kama zawadi, lakini ni haki yake.
Ni nani anayeweza kumupa Mungu kitu kwanza, kusudi naye apate kumurudishia?”
Na ikiwa walichaguliwa kwa neema ya Mungu, si kufuatana na matendo. Ingekuwa vile, neema isingekuwa neema tena.
Lakini kwa neema ya Mungu wanahesabiwa haki kwa bure kwa njia ya Kristo Yesu anayewakomboa.
Kwa sababu gani? Kwa sababu walitafuta haki ile, si kwa njia ya imani, lakini kwa njia ya matendo. Walijikwaa juu ya “lile jiwe la kukwalisha,”