Waroma 4:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200210 Yeye alihesabiwa vile alipokuwa katika hali gani? Alipokuwa amekwisha kutahiriwa au alipokuwa hajatahiriwa bado? Halikutendeka nyuma ya kutahiriwa kwa Abrahamu lakini mbele ya kutahiriwa kwake! အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |