Waroma 2:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20021 Wewe unayemuhukumu mwingine hauna namna yoyote ya kujitetea, haizuru wewe ni nani. Kwa maana wakati unapohukumu mwingine, unajikatia hukumu wewe mwenyewe, kwa sababu wewe unayehukumu unatenda mambo yale yale. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |