11 Na tena hivi: “Enyi mataifa yote, mumusifu Bwana; enyi watu wote, mumusifu!”
Enyi mataifa yote, mumusifu Yawe! Enyi watu wote, mumutukuze!
Isaya naye anasema: “Muzao wa Yese atatokea, atatawala watu wa mataifa, nao watamutumainia.”