Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Waroma 13:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Kwa maana wanaofanya mema hawaogopi watawala, lakini wale wanaofanya mabaya. Unataka kuishi bila kumwogopa mwenye mamlaka? Basi fanya mema naye atakusifu,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Waroma 13:3
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mufalme anapendezwa na mutumishi anayetenda kwa hekima, lakini hasira yake inawapata wanaotenda mambo yasiyofaa.


Kasirani kali ya mufalme ni kama simba anayenguruma; anayemukasirikisha anahatarisha maisha yake.


Kwa hiyo yeye anayepingana na mwenye mamlaka anapinga amri ya Mungu, nao wanaofanya vile wanajiletea azabu wenyewe.


maana yeye anamutumikia Mungu kwa faida yako. Lakini kama ukifanya mabaya, umwogope kwa sababu yeye yuko na uwezo kwa kuazibu. Yeye anamutumikia Mungu wa kuazibu wale wanaofanya mabaya.


“Ikiwa kuna ugomvi kati ya watu wawili, na wakienda kwa tribinali kuamua maneno yao, mumoja akionekana hana kosa, na mwingine akihukumiwa,


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ