5 Musa akawaambia: Hili ndilo jambo ambalo Yawe ameamuru lifanyike.
Musa akafanya kama vile alivyoamuriwa na Yawe. Akakusanya Waisraeli wote pamoja mbele ya mulango wa hema la mukutano.
Halafu Musa akawaleta Haruni na wana wake na kuwanawisha.