Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Walawi 8:32 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

32 Nyama yoyote au mukate wowote utakaobakia unapaswa kuteketezwa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Walawi 8:32
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Vilevile musiache nyama yoyote mpaka asubui. Nyama yoyote itakayobaki mpaka asubui mutaiteketeza kwa moto.


Kama nyama yoyote au mikate hiyo itabakia mpaka asubui yake, basi utaiteketeza kwa moto. Isikuliwe maana ni kitu kitakatifu.


Usijisifie kwa ajili ya kesho. Haujui siku ya leo itakuletea nini.


Kila kitu unachotaka kufanya ukifanye kwa nguvu zako zote, maana, hakuna kazi, wala wazo, wala maarifa, wala hekima kule katika kuzimu unakokwenda.


Lakini nyama yoyote ya sadaka hiyo inayobaki mpaka kwa siku ya tatu itateketezwa.


Hamutatoka inje ya mulango wa hema la mukutano kwa muda wote wa siku saba, ni kusema mpaka muda wenu wa kutakaswa umekwisha, muda ambao utatwaa siku saba.


Kwa maana Mungu anasema hivi katika Maandiko Matakatifu: “Kwa wakati uliofaa, nilijibu maombi yako. Kwa siku ya wokovu, nilikusaidia.” Basi sasa, huu ndio wakati unaofaa, sasa leo ni siku ya wokovu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ