Walawi 8:31 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200231 Musa akamwambia Haruni na wana wake: Mupike ile nyama mbele ya mulango wa hema la mukutano, muikulie pale kwenye mulango pamoja na mukate kutoka katika kitunga chenye sadaka za utakaso. Mufanye kama vile nilivyoamuriwa na Yawe, kwamba sehemu hiyo itakuliwa na Haruni na wana wake. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |