Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Walawi 7:28 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

28 Yawe akamwambia Musa:

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Walawi 7:28
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wazao wa Haruni wataiteketeza juu ya mazabahu pamoja na sadaka ya kuteketezwa inayokuwa juu ya kuni. Hiyo ni sadaka ya kuteketezwa kwa moto yenye harufu nzuri ya kumupendeza Yawe.


Mutu yeyote akikula damu yoyote, atatengwa na watu wake.


Uwaambie watu wa Israeli hivi: Mutu yeyote akitoa sadaka ya amani, atamupa Yawe sehemu ya sadaka hiyo.


Yawe akamwambia Haruni: Ninakupatia matoleo Waisraeli waliyonipa, vitu vyote vitakatifu walivyonipa: vitu vyote vilivyotakaswa na Waisraeli. Ninakupa vitu vyote wewe na wazao wako kuwa fungu lenu, na hiyo ni haki yenu milele.


Kisha kuhani atatwaa bega la yule kondoo dume likiwa limepikwa pamoja na andazi moja lililotiwa chachu kutoka kikapu na mikate myembamba vilevile isiyotiwa chachu na kumupa munaziri katika mikono akisha kumaliza kunyoa nywele zake alizokuwa nazo wakati wa kutakaswa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ