Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Walawi 7:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

14 Kutokana na maandazi hayo, atamutolea Yawe andazi moja kutoka kila sadaka. Maandazi hayo yatakuwa ya kuhani anayenyunyizia mazabahu damu ya sadaka za amani.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Walawi 7:14
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Ninakupa wewe, wana wako na wabinti zako, vitu vyote ambavyo watu wa Israeli wananitolea; hivyo ni haki yenu siku zote. Hili ni agano la milele mbele yangu ambalo ni kwa ajili yako na wazao wako.


umupe kuhani Eleazari kuwa sadaka kwa Yawe.


Basi, Musa akamupa kuhani Eleazari sehemu ya kumi hiyo iliyotolewa kwa Yawe, kama vile Yawe alivyomwamuru Musa.


Muangalie mufano wa Waisraeli: wale wanaokula vitu vinavyotolewa sadaka juu ya mazabahu wanaungana na Mungu kwa njia ya sadaka ile.


Watapata mafungu yao sawa ya kula, ingawa wako na mapato kutokana na kuuzisha mali za jamaa zao.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ