Lakini wote walipopima kiasi walichookota katika kipimo cha litre ine, walitambua kwamba aliyeokota kingi hakukuwa na cha zaidi na aliyeokota kidogo, hakupungukiwa. Kila mumoja alikuwa ameokota kiasi alichoweza kula.
Na sasa ninyi muko na mapato mengi zaidi, basi munaweza kuwasaidia wale wanaokuwa katika mahitaji. Hivi wao vilevile watakapokuwa na mapato mengi wataweza kuwasaidia katika siku za mahitaji. Kwa hiyo kutakuwa usawa