Walawi 6:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 Mumoja wa makuhani atatwaa mukono mumoja wa unga wa sadaka ya vyakula pamoja na mafuta na ubani wote na kuviteketeza juu ya mazabahu kama vile sehemu ya ukumbusho. Harufu yake itamupendeza Yawe. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |