Walawi 6:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200211 Wazao wanaume wa Haruni ndio peke yao wanaoruhusiwa kula sehemu hiyo maana hiyo imetengwa siku zote kwa ajili yao kutoka sadaka Yawe anazotolewa kwa moto. Yeyote atakayezigusa atakuwa mutakatifu. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |