Walawi 4:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20027 Kuhani atatwaa sehemu ya damu na kuipakaa kwenye pembe za mazabahu ya kufukizia ubani wenye harufu nzuri, mbele ya Yawe katika hema la mukutano. Damu inayobaki ataimwanga chini kwenye tako la mazabahu ya kuteketezea sadaka inayokuwa karibu na mulango wa hema la mukutano. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |