Walawi 4:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200218 Kisha, sehemu ya damu atazipakaa kwenye pembe za mazabahu inayokuwa katika hema la mukutano mbele ya Yawe. Damu inayobaki ataimwanga chini kwenye tako la mazabahu ya kuteketezea sadaka inayokuwa karibu na mulango wa hema la mukutano. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |