Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Walawi 4:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

17 Atachovya kidole chake katika hiyo damu na kuinyunyiza mbele ya pazia mara saba, mbele ya Yawe.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Walawi 4:17
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha, atamunyunyizia yule mwenye kutakaswa ile damu mara saba, halafu atamutangaza mutu huyo kuwa safi. Atamwacha yule ndege muzima aende zake katika pori inje ya muji.


Atatwaa sehemu ya damu ya yule ngombe dume na kunyunyiza kwa kidole chake upande wa mashariki juu ya kiti cha rehema kisha atainyunyizia mbele ya Sanduku la Agano mara saba kwa kidole chake.


Yule kuhani aliyechaguliwa kwa kupakwa mafuta ataleta sehemu ya damu ya huyo ngombe dume ndani ya hema la mukutano.


Huyo kuhani aliyepakwa mafuta atatwaa sehemu ya damu na kuingia nayo ndani ya hema la mukutano.


Akanyunyiza sehemu ya mafuta hayo juu ya mazabahu mara saba, akaipakaa mafuta na vyombo vyake vyote, birika na tako lake kwa kuvitakasa.


Kisha kuhani Eleazari atatwaa sehemu ya damu na kuinyunyiza kwa kidole mara saba, kuelekea upande wa mbele wa hema la mukutano.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ