Walawi 27:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
7 Ikiwa mutu huyu umri wake ni zaidi ya miaka makumi sita, bei yake itakuwa ni shekeli kumi na tano za feza, kama ni mwanaume na shekeli kumi za feza kama ni mwanamuke.
Muda wa maisha yetu ni miaka makumi saba, au tukikuwa wenye afya, miaka makumi nane; lakini yote ni shida na taabu! Siku zinapita mbio, nasi tunatoweka!
Ikiwa ni mutoto wa umri wa kati ya mwezi mumoja na miaka mitano atakombolewa kwa shekeli tano za feza kama ni kijana na shekeli tatu za feza kama ni binti.
Lakini ikiwa mutu huyu ni masikini na hawezi kulipa malipo yake, basi, mutu yule atapelekwa kwa kuhani. Kuhani atapima bei yake kulingana na uwezo wa huyo aliyefanya kiapo.