Walawi 27:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
5 Kama mutu huyu ni wa miaka kati ya mitano na makumi mbili atakombolewa kwa feza shekeli makumi mbili kama ni kijana na shekeli kumi za feza kama ni binti.
Wachuuzi Wamidiani walipofika pahali pale, wale wandugu wakamwondoa Yosefu katika shimo, wakamwuzisha kwa Waisimaeli kwa bei ya vikoroti makumi mbili vya feza; nao wakamupeleka Yosefu Misri.
Ikiwa ni mutoto wa umri wa kati ya mwezi mumoja na miaka mitano atakombolewa kwa shekeli tano za feza kama ni kijana na shekeli tatu za feza kama ni binti.