Walawi 27:27 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200227 Kama ni nyama muchafu, mwenyeji atamununua kwa kulingana na jinsi munavyomupima na ataongeza asili mia makumi mbili ya bei ya nyama huyo. Kama hakombolewi, basi atauzishwa kulingana na vipimo vyenu. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |