Walawi 27:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200216 Mutu akitakasa shamba lake, ambalo ni urizi wake, kwa ajili ya Yawe, basi, bei yake itapimwa kulingana na mbegu zinazotumiwa kwa kupanda shamba hilo. Kwa kila kilo makumi mbili za shayiri bei yake itakuwa shekeli makumi tano za feza. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |