12 naye kuhani ataamua bei yake kulingana na uzuri au ubaya wake. Jinsi kuhani atakavyoamua, ndivyo itakavyokuwa.
Hata hivyo, nafasi za kuabudu miungu kwenye milima hazikuharibiwa, na watu waliendelea kutambika na kufukiza ubani kule.
Kama kiapo hicho kinaelekea nyama muchafu wa aina ambayo hairuhusiwi kumutolea Yawe, basi, mutu aliyemutoa, atamuleta kwa kuhani,
Lakini ikiwa mwenyeji anataka kumukomboa, basi, ataongeza asili mia makumi mbili ya bei ya nyama huyo.
kuhani ataamua bei ya shamba hilo kwa kulingana na miaka inayobaki kufikia mwaka wa ukumbusho wa miaka makumi tano na mutu huyo atalipa bei yake kama ni kitu kitakatifu kwa Yawe.