Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Walawi 26:38 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

38 Mutaangamia kati ya mataifa na inchi za waadui zenu zitawameza.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Walawi 26:38
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Siku hiyo, baragumu kubwa itapigwa na watu wote wa Israeli waliopotea katika inchi ya Asuria au waliotawanywa katika inchi ya Misri watarudi na kumwabudu Yawe juu ya mulima mutakatifu kule Yerusalema.


lakini atakufia kulekule alipelekwa katika utumwa. Yeye hataiona tena inchi hii.


Basi, mujue hakika kwamba mutauawa kwa vita, kwa njaa na kwa ugonjwa mukali katika inchi ile munayotaka kwenda kukaa ndani yake.


Kama wamoja kati yenu wakibakia katika inchi za waadui zenu watakonda na kuisha kwa sababu ya uovu wao na kwa sababu ya uovu wa wazee wao.


Kwa hiyo mutawatumikia waadui zenu ambao Yawe atawatuma mbele yenu, kwa njaa, kiu na uchi, na ukosefu wa kila kitu. Atawafunga nira ya chuma mpaka awaangamize.


Yawe atawarudisha Misri kwa mashua, safari ambayo aliahidi kwamba hamungeifanya tena. Huko mutajaribu kujiuzisha kwa waadui zenu kuwa watumwa, lakini hakuna mutu atakayewanunua.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ