27 Na kama hata kisha hayo yote bado hamutanisikiliza mukiendelea kunipinga,
Tukamupika mwana wangu, tukamukula. Kesho yake nikamwambia tumukule mwana wake, lakini alikuwa amemuficha!”
Kama mukiendelea kunipinga na kukataa kunisikiliza, nitazidisha tena azabu yenu mara saba kadiri ya wingi wa zambi zenu.
basi, nami nitapingana nanyi na kuwaazibu mara saba zaidi kwa ajili ya zambi zenu.
Chakula chenu nitakipunguza hata wanawake kumi watumie mafika moja tu kwa kupika mikate. Watawagawanyia mukate wenu kwa kipimo. Na hata kisha kula mutaendelea kuwa na njaa tu.
basi nami nitapingana nanyi kwa hasira kali, na kuwaazibu mimi mwenyewe mara saba zaidi kwa ajili ya zambi zenu.
Musipomutii Yawe, mutaangamia kama vile mataifa ambayo anayaangamiza mbele yenu.