Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Walawi 25:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Hata hivyo mwaka huo wa mapumziko ya inchi utawapatia chakula ninyi wenyewe, watumwa wenu na wajakazi, watumishi na wageni wanaokaa kati yenu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Walawi 25:6
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

“Na hiki ndicho kitakuwa kitambulisho kwako Hezekia: Mwaka huu na mwaka unaokuja mutakula kinachoota chenyewe bila kupandwa. Lakini katika mwaka wa tatu mutapanda na kuvuna mavuno; mutapanda mizabibu na kula matunda yake.


Lakini katika mwaka wa saba, utayaacha mashamba yako bila kupanda mbegu, kusudi wamasikini kati ya watu wako wapate chakula kilichobakia mule na nyama wa pori wakule. Utafanya vile vile katika shamba lako la mizabibu na la mizeituni.


Lakini labda mutafikiri: Tutakula nini katika mwaka wa saba ijapokuwa haturuhusiwi kupanda wala kuvuna mazao yetu?


Basi! Mimi nitabariki inchi katika mwaka wa sita nayo itawapa mazao ya kuwatoshelea kwa miaka mitatu.


Chochote kinachoota peke yake musikivune wala kuchuma zabibu kutoka miti isiyokatwa matawi. Huo utakuwa mwaka wa kupumzisha udongo.


Inchi itakulisha nyama wenu wa kufugwa na nyama wa pori wanaokaa kati yenu.


Na wanafunzi wote waliishi katika umoja na katika ushirika wa vitu vyao vyote.


Kundi lote la waamini walikuwa na roho moja na nia moja. Hakuna hata mumoja wao aliyehesabia mali yake kuwa yake mwenyewe, lakini walishirikiana katika vitu vyote.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ