3 Kwa muda wa miaka sita mutalima udongo, mutapanda, mutakata matawi ya mizabu yenu na kuvuna mazao yenu.
Kwa muda wa miaka sita utapanda mashamba yako na kuvuna mazao yake.
Lakini katika mwaka wa saba, utayaacha mashamba yako bila kupanda mbegu, kusudi wamasikini kati ya watu wako wapate chakula kilichobakia mule na nyama wa pori wakule. Utafanya vile vile katika shamba lako la mizabibu na la mizeituni.
Uwaambie Waisraeli hivi: Mutakapofika katika inchi ninayowapa mimi Yawe, kila mwaka wa saba inchi itapumzishwa isilimwe kwa heshima ya Yawe.