Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Walawi 24:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

19 Mutu yeyote anayemwumiza mwenzake, anapaswa naye aumizwe sawasawa na vile alivyomwumiza mwenzake,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Walawi 24:19
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini kama kutakuwa hasara nyingine, basi, unapaswa kulipa uzima kwa uzima,


jicho kwa jicho, jino kwa jino, mukono kwa mukono, muguu kwa muguu,


kuchomwa moto kwa kuchomwa moto, kidonda kwa kidonda, na pigo kwa pigo.


Mutu yeyote anayeua nyama wa mwenzake anapaswa kutoa malipo: uzima kwa uzima.


akimuvunja mufupa naye atavunjwa mufupa, jicho kwa jicho, jino kwa jino. Kila mutu anayemwumiza mwenzake anapaswa naye aumizwe kulingana na tendo lake.


“Mumesikia kwamba imesemwa hivi: ‘Jicho kwa jicho, na jino kwa jino.’


Kwa maana mutahukumiwa kufuatana na namna munavyowahukumu wengine, na kipimo kile munachowapimia wengine ndicho kitakachotumiwa kwenu vilevile.


Musiwaonee huruma watu wa aina hiyo. Uzima utalipwa kwa uzima, jicho kwa jicho, jino kwa jino, mukono kwa mukono na muguu kwa muguu.


Adoni-Bezeki akasema: “Wafalme makumi saba waliokatwa vidole gumba vya mikono na miguu waliokota makombo chini ya meza yangu. Sasa Mungu amenilipa kama nilivyotenda.” Wakamupeleka Yerusalema, akakufia kule.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ