13 Basi, Yawe akamwambia Musa:
wakamutia katika kifungo mpaka pale watakapofunuliwa mapenzi ya Yawe.
Umuondoe kijana aliyetukana inje ya kambi, wale wote waliomusikia akitukana waweke mikono yao juu ya kichwa chake, na wote pamoja wamwue kwa kumupiga mawe.