12 wakamutia katika kifungo mpaka pale watakapofunuliwa mapenzi ya Yawe.
Ukifanya hivyo na kama ndivyo Mungu anavyotaka, utaweza kuvumilia na watu hawa wote wataweza kurudi kwao kwa amani.”
Basi, Yawe akamwambia Musa:
Wao wakamuweka katika kifungo kwa sababu haikukuwa bado imesemwa wazi namna ya kumufanya mutu wa namna hiyo.
Musa akaleta malalamiko yao mbele ya Yawe.
Musa akawajibu: Mungojee mpaka pale nitakapopata maagizo juu yenu kutoka kwa Yawe.