Walawi 23:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20023 Kutakuwa siku sita za kufanya kazi. Lakini siku ya saba ni Sabato. Siku hiyo ni ya mapumziko, hamutafanya kazi na mutakuwa na mukutano mutakatifu. Siku hiyo ya saba hamutafanya kazi. Hiyo ni Sabato ambayo ni takatifu kwangu mimi Yawe katika makao yenu yote. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |