Walawi 23:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200211 Kuhani atafanya nayo kitambulisho cha kunitolea siku inayofuata siku ya Sabato kusudi mupate kukubaliwa. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Lakini kilali ambacho wanafanya nacho kitambulisho cha kumutolea Yawe na muguu unaotolewa sadaka kama vile kitambulisho, munaweza kuvikulia pahali popote pasipo kuwa pachafu. Utakula wewe na watoto wako wanaume na wanawake. Vitu hivyo umepewa kama haki yako na ya wazao wako kutoka sadaka za amani za watu wa Israeli.